0


Kama ambavyo wengi tunatambua kuwa sehemu kubwa (asilimia 99.5) ya kufurahia ngono ni Mapenzi ya kweli juu ya mpenzi wako ikisaidiwa na utundu wako wewe mwenyewe manamke na sio mwanaume japokuwa baadhi ya wanawake hutegemea wanaume wawafanyie kila kitu mpaka kuwafikishe.
 
Wakati mwingine wanaume huchoka kwa vile kwa kawaida wanawake tunachukua muda mrefu zaidi kufikia mshindo ukilinganisha na wanaume, kwamba mwanamke anafika ndani ya dakika 10-15 wakati mwanaume anafika ndani ya dakika 1-5 unless awe anajua kujizuia nahapo ndio atakwenda mpaka dakika 45 na baadhi huondoka zaidi ya hapo kutokana na kutosisimuliwa vilivyo (yaani akikupanda hamalizi mpaka uke unakauka na wewe hamu inakuishia) hahahahaha!
Well, back to topic......

Mbinu ya kuita kilele sio ngumu kama wengi mlivyokuwa mkifikiria/dhania bali ni ya kawaida sana na utashangaa ni jinsi gani inafanya kazi, na ikiwa umebahatika kuwa na mwanaume mwenye uwezo wa kujizuia basi unaweza kupiga 3 ktk mzunguuko wa kwanza.
 
Unapokuwa ukifanya mapenzi hakikisha akili yako yote iko kwenye kufanya mapenzi, sio lazima umfikirie mpenzi wako bali unaweza kufikiria chochote kitakacho kufanya "unyegetuke" zaidi wakati "mzigo" uko ndani ya uke sio.
Mfano unaweza kuwaza/kujisemea "natombwa sasa", unaweza kumuuliza mpenzi wako akuambie anafanya nini in rude way (it works 4 me), au kama anakujua vizuri basi anaweza akaanza kusifia Uke wako ulivyo, anavopenda kukufanya n.k (wengine nasikia huomba kutukaniwa wazazi wao.....hey it works 4 them so jaribu na wewe)
 
Jinsi jamaa anavyokufanya wewe pia msaidie.......well jisaidie na hakikisha unahangaika kupata "kipele" (mahali unaposikia raha zaidi pakiguswa), ukisha hisi mwambie atulie hapo hapo na wewe anza kufanya "makaratee" zunguusha kiuno chako ktk pembe zote (badilisha mirindimo) na wakati unafanya hivyo hakikisha unabana pumzi na kuiachia papo kwa hapo (hakikisha huiachii kwa muda mrefu yani in sec unabana na kuiachia).
 
Psssssssssssi: Sometimes u have 2 be a little selfish ei? Wanaume wakibana pumzi wanachelewa kufika lakini mwanamke ukibana pumzi unawahi kufika.....hii ni kutokana na uzoefu na nime-share na baadhi ya wanawake na wamefanikiwa kufurahia ngono kama ninavyofurahia mimi.

Post a Comment

Kama umependezwa na hii stori toa maoni yako kama unayo

 
Top