Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 28, cjaolewa ila nimebahatika kupata mtoto mmoja ambaye tangu amezaliwa ckuwahi kuishi na baba yake na kumlea inshort, tulishaachana

Baadae nilibahatika kumpata kijana mwingine ambaye tulipendana sana Nilijisikia furaha sana kuwa nae matokeo yake bila mm kujua kumbe alikuwa na mahusiano mengine na mwanamke ambaye alimpa ujauzito na baadae kujifungua ambapo mm nilipokuja kujua na niliumia sana, ckuumia kwa sbb ya yy kupata mtoto niliumia kwa sbb alinificha hakuwa mkweli kwangu.
 
Siku tuliyokutana alinipokea vzuri na kuomba msamaha sana kwa sbb aligundua kuwa amenikatisha tamaa na ckuwa najisikia vzuri, katika mazungumzo yetu nikamuuliza swali moja tu una mpango gani ss na huyo dada, akanijib hawezi ishi nae ktk maisha yake,jibu lake lilinipa amani tukarudiana,.

kadri siku zilivyozid kwenda nikaona anaanza kubadilika nikimpigia hapokei, msg hajib kumbe yule dada alishahamia kwake nilipojarib kumuuliza akasema ndio kwani ni dhambi yy kukaa na mwanae ? niliumia sana nikasema ngoja niachane nae na siitaji kuwasiliana nae awe free na familia yake

 juzi nimebadili cm ambayo naitumia nikaona ananzaa kunisumbua na kuomba msamaha kuwa anataka kuendelea na mm, na c mara moja kwa kuhesabu ni zaidi hata ya mara ishirini anaomba msamaha, nimekuwa cimuelewi kwa sbb kama anaishi na mtu iweje aendelee kuomba msamaha na anasubutu kusema hawezi kbs kuishi bila mm kwa yale niliyomfanyia na nilivyokuwa namjali na kumyenyekea, ameona mm ni mwanamke ambaye alikuwa naniitaji ktk maisha yake, naomba ushauri hv huyu kijana anamaanisha au ni msanii tu, ingawa bado nampenda ila nimekuwa muoga sana
 
Top