Naomba msaada wako...
Mimi ni msichana wa miaka 24,nimemaliza chuo mwaka huu,bf wangu
anamiaka 23 yy yupo mwaka wa mwisho..
jaman mm nina matatizo.kwanza huyu bf simwelewi tunamiezi 8 sasa tangu
tuwe pamoja ..hatujafanya sex coz mm ni bikra ..kinachonisumbua ni kwamba
kuna kipindi tulibreak up coz most of the times tulikua
tunagombana.(nilikua namdoubt vitu ambavyo baadae nilijua hafanyi plus
nilikua cwez kucontrol hacra zangu kwake ovr vitu vidogo
anavyofanya...i took hm for granted sa hv am payin the price)
niliporudiana akawa kama hayupo into the relationship kama zaman but

kunakipindi anakua so sweet..kuna siku nilimuuliza kama ananipenda
akasema hataki kunimislead bt anachojua anafeelings kwangu..niliumia
bt nikachukulia poa...sasa anaweza kuuchuna for 3 days,ukimchunia yy
ataanza kulalamika..namejarib kumwacha  but nimeshindwa kabisa..  he
wants us tusex na mm nataka pia nifanye sex..je anadeserve kuwa my
first?pili mm jaman matiti yangu hayapo same size,ingawa ukiyaangalia
haraka huwez kujua..jaman hii ni kawaida kwa mtu at this age?pia huko
chin jaman plus pale ktkt ya makalio ni peuc(co sanaaaaaa) kuliko
rangi ya ngoz yangu,haitakua a turn off kwa mvulan wakati wa sex and z
it normal?...
...plz nisaidien....................
 
Top