0
Kwanini wapenzi huamua kudanganyana? Kwanini wapenzi huamua kudanganyana?

Ni kawaida katika mahusiano kuwa na magomvi yasiyokwisha juu ya wapenzi kutoka nje ya mahusiano; si jambo la ajabu tena kwa maisha ya sasa yaliyochanganyika tamaduni na historia mbalimbali. Kama mwandishi na mdadisi wa maisha ya kila siku yamuhusuyo…

Read more »

0
MPENZI WAKO NDIYE ADUI YAKO SEHEMU YA KWANZAMPENZI WAKO NDIYE ADUI YAKO SEHEMU YA KWANZA

Kila binadamu hupenda jambo fulani. Mapenzi ya mtu juu ya jambo yaweza kumvutia kiasi kwamba anaweza kupoteza welekeo wa maisha yake. Watu hupenda hadi kileleni. Hapa ndipo mtu aelewi hili wala lile. Hali hii si tu kwa vijana wanaoingia katika umri …

Read more »

0
Namna ya kumsahau mpenzi wako wa kwanza Namna ya kumsahau mpenzi wako wa kwanza

Kuachana na wapenzi wa kwanza huumiza, wakati mwingine vigumu kupona vidonda vyake wengi huyumba sana kimahusiano wanapopata wapenzi wapya. Hizi ni baadhi ya hatua za kuchukua ili umsahau mpenzi wako wa …

Read more »

0
JE UNATAKA KUACHANA NA MPENZI WAKO PASIPO KUUMIA MOYO?JE UNATAKA KUACHANA NA MPENZI WAKO PASIPO KUUMIA MOYO?

Katika ulimwengu wa mapenzi hakuna Jambo linaumiza Roho na Moyo kama kuachana na Mpenzi wako ambae ulimpenda kwa dhati na kuhisi  ndie aliestaili kuwa chaguo lako katika maisha ya hapa Duniani. Suala la kuachana  limeumiza  watu wengi wanaume kwa wa…

Read more »

0
TABIA ZA MSICHANA ANAYEPENDA LAKINI HAWEZI KUSEMA NI HIZI HAPA. TABIA ZA MSICHANA ANAYEPENDA LAKINI HAWEZI KUSEMA NI HIZI HAPA.

1. Atakutega kupata attention yako. Hufanya mambo ambayo yatamfanya kuona kama unampenda au lah! Mf wa mambo hayo ni kujifanya anaumwa na kuangalia respond yako kwake ni kiasi gani unamjali na kiasi gani utahangaika kwa ajili yake au2. Haoni aib…

Read more »
 
123 ... 39»
 
Top